Skip to content

Ishi Kistaa

Ishikistaa.com - Breaking News, Latest News, Entertainment, Music, Fashion and Videos

Ishi Kistaa

Ishikistaa.com - Breaking News, Latest News, Entertainment, Music, Fashion and Videos

  • Home
    • Home
    • Celebs
Celebs Entertainment

Kanda za Bob Marley zilizookotwa baada ya kupotea kwa miaka 40 zarekebishwa

Rashid Bugi Feb 6, 2017 0 Comments

Kanda za maonyesho wa gwiji wa muziki wa Reggae Bob Marley ambazo ziliokotwa baada ya miaka 40 kwenye hoteli iliyotelekezwa jijini London zimetengezwa. Kanda hizo halisi, zenye ubora wa juu…

Celebs Entertainment News

Audio: Wema Sepetu afunguka ‘mazito’ kuhusu ishu ya ‘UNGA’

Rashid Bugi Feb 6, 2017 0 Comments

Sakata la kukamatwa kwa wasanii mastaa ndani ya Bongo limekuja na sura nyingine baada ya staa Wema Sepetu kurekodiwa akilaumu mambo mbalimbali kuhusiana na utaratibu wa kukamatwa kwake na kushikiliwa…

Celebs Entertainment

Vanessa Mdee aifungukia ‘kashfa ya unga’ ya Makonda

Rashid Bugi Feb 5, 2017 0 Comments

Staa wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee a.k.a Cash Madame nae amevunja ukimya kuhusiana na sakata la ‘unga’ la Mh. Paul Makonda. Staa huyo mwenye uhusaino wa kimapenzi na staa mwenzake,…

Celebs Entertainment

Wema Sepetu na mastaa watatu bado ‘LOCK UP’

Rashid Bugi Feb 4, 2017 0 Comments

Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam linaendelea kuwashikilia mastaa wawili wa Bongo Fleva, Nyandu Tozi na Khaleed Mohamed a.k.a TID pamoja na mastaa wengine wa wakubwa akiwemo Wema Sepetu…

Celebs Entertainment

Polisi watishia kumtia nguvuni 2face Idibia

Rashid Bugi Feb 3, 2017 0 Comments

Jeshi la Polisi nchini Nigeria limetahadharisha supastaa wa nchi hiyo, 2face Idibia kuwa watamtia nguvuni endapo ataendelea na mpango wake wa kuongoza maandamano kwenye mji mkuu wan chi hiyo, Lagos.…

Celebs Entertainment

Diamond anavyoanza kuwaliza mashabiki wake

Rashid Bugi Feb 3, 2017 0 Comments

Diamond Platnumz ameamua kuingia mkataba na kampuni ya kimataifa Universal Music Group (UMG) ili iweze kumsapoti kusambaza nyimbo zake. Ni dili ambayo thamani yake kwa mujibu wa lebo ya WCB,…

Celebs Entertainment

Jumba la Nicki Minaj lavamiwa na wezi, wasepa na vito vya £140,000 (TZS 390m)

Rashid Bugi Feb 3, 2017 0 Comments

Polisi katika jimbo la Los Angeles nchini Marekani wanapeleleza kesi nyingine ya kuibiwa kwa staa ikiwa ni miezi michache tangu staa wa Marekani, Kim Kardashian aporwe vitu vyake nchini Ufaransa.…

Celebs Entertainment

Beyonce ‘kitumbo’ kuperform Grammy

Rashid Bugi Feb 3, 2017 0 Comments

Staa wa Pop wa Marekani, Beyonce amekubali kufanya performance kwenye utoaji wa tuzo za Grammy licha ya kuwa mjazito wa watoto mapacha. Baba mzazi wa staa huyo, Mathew Knowles ndiye…

Celebs Entertainment

JK Rowling awajibu wanaoitishia kuchoma vitabu vya Harry Potter

Rashid Bugi Feb 3, 2017 0 Comments

Mwandishi wa vitabu vya Harry Potter, JK Rowling amewajibu watumiaji wa mtandao wa Twitter ambao wametishia kuchoma moto vitabu vyake kufuatia msimamo wake dhidi ya rais Donald Trump. Rowling amekuwa…

Celebs Entertainment

Wauza Unga Bongo Fleva na Bongo Movie ‘hadharani’

Rashid Bugi Feb 2, 2017 0 Comments

Hii leo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Paul Makonda ameweka hadharani majina ya mastaa ambao wanatuhumiwa kuhusika kwenye biashara ya dawa za kulevya. Uhusika huu ni wa…

Celebs Entertainment

Starehe za kufuru zamfilisi staa wa filamu za Pirates of the Caribbean, Johnny Depp

Rashid Bugi Feb 1, 2017 0 Comments

Staa wa filamu za Pirates of the Caribbean, Johnny Depp ameambiwa ajilaumu mwenye kwa matatizo ya kifedha yanayomkabili hivi sasa kwasababu alikuwa akiishi kifahari kwa bajeti ya $2m (TZS4.5bn) kwa…

Celebs Entertainment

Jambo KUBWA la kufungulia mwaka 2017 la Diamond Platnumz hili hapa

Rashid Bugi Feb 1, 2017 0 Comments

Kupitia video yake aliyoiweka Instagram na kutangaza kuwa mwaka 2017 utakuwa na mambo makubwa zaidi, hatimaye Diamond Platnumz ameanza kuyaweka wazi mambo hayo. Unaikumbuka track yake aliyofanya na staa wa…

Celebs Entertainment

Ben Affleck atemwa kuongoza Batman

Rashid Bugi Jan 31, 2017 0 Comments

Staa wa filamu za Batman, Ben Affleck ameondolewa kwenye jukumu la kuongoza filamu mpya ya Batman baada ya kupewa jukumu la kuigiza kwenye filamu hiyo. Kampuni ya kutengeneza filamu ya…

Celebs Entertainment

Diamond Platnumz amechanganyikiwa na anahitaji msaada?

Rashid Bugi Jan 31, 2017 0 Comments

Kila mpanda ngazi hushuka na kila mchimba kaburi ‘HUINGIA MWENYEWE’. Hakuna ukosefu wa hekima na busara kama kumkimbiza chizi anayeiba nguzo zako wakati unaoga kisha nawe ukaamua kutoka ‘kama ulivyozaliwa…

Celebs Entertainment

Matonya na Jide kurudi na ‘Anitha remix’?

Rashid Bugi Jan 30, 2017 0 Comments

Ni kama Bongo Fleva INAZALIWA UPYA vile. Ukitazama kwa sasa, Bongo Fleva imeanza kubadilisha muelekeo na WAKONGWE wanaonekana kuanza kuchukua nafasi zao. Baada ya Lady Jay Dee kuwa mmoja wa…

Celebs Entertainment

Video: Harmonize ampigia magoti Wolper warudiane

Rashid Bugi Jan 29, 2017 0 Comments

Lile penzi la mastaa, Harmonize na Jacqueline Wolper amble lilianza kwa mbwembwe na madoido ya kila aina kisha likaja kukatika kama tui la nazi sasa linapambaniwa tena. Baada ya Wolper…

Celebs Entertainment

Jux na Vee Money kumwagana?

Rashid Bugi Jan 27, 2017 0 Comments

Huenda hii ikawa ndio couple pekee kwenye uwanja wa Bongo Fleva ambayo iko ‘OPEN’ na bado inaendelea kushamiri, ukiachilia couple ya Navy Kenzo. Ingawa tofauti ya imani za dini kwa…

Celebs Entertainment News

Lady Madonna akana mipango ya kuasili watoto wengine Malawi

Rashid Bugi Jan 26, 2017 0 Comments

Staa wa muziki wa Pop wa Marekani, Madonna amekanusha tetesi zinazodai kuwa ametuma maombi ya kuasili mtoto mwingine kutoka nchini Malawi. Kauli ya Madonna imekuja kufuatia hatua ya msemaji wa…

Celebs Entertainment

Roman Polanski ajitoa kwenye nafasi ya haji wa tuzo za Cesars

Rashid Bugi Jan 25, 2017 0 Comments

Muongozaji wa filamu Roman Polanski amejiondoa kwenye jopo la majaji wa tuzo za Cesars za nchini Ufaransa kufuatia mashabiki kuonyesha waziwazi kukerwa na kuchaguliwa kwake. Tangu kuchaguliwa kwake wiki iliyopita,…

Celebs Entertainment

La La Land yaweka historia Oscar, yatajwa vipengele 14

Rashid Bugi Jan 25, 2017 0 Comments

Movie ya La La Land kwa mara nyingine tena imefanikiwa kuandika historia baada ya kutajwa kuwania tuzo kwenye vipengele 14 vya tuzo za Oscars. Mastaa wa movie hiyo, Ryan Gosling…

Celebs Entertainment

Nani kuutambulisha mwaka 2017 wa WCB?

Rashid Bugi Jan 25, 2017 0 Comments

Umemis ‘ngoma mpya’ za WCB? Unataka collabo au unataka solo? Unataka ngoma mpya ya nani; Diamond Platnumz, Harmonize, Rayvanny, Mavoko au Queen Darleen? Kwa mujibu wa staa wa kundi hilo,…

Celebs News

Madonna afafanua kauli yake ya kuilipua ikulu ya White House

Rashid Bugi Jan 24, 2017 0 Comments

Kumeibuka mvutano nchini Marekani kuhusiana na kauli ya msanii Madonna aliyoitoa hivi karibuni kuhusiana na rais mpya wa nchi hiyo Donald Trump. Wakati akiwa kwenye maandamano ya kumpinga rais huyo…

Celebs

Flora Mbasha kuachana na mfumo wa kuachia albam

Rashid Bugi Jan 19, 2017 0 Comments

Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha amesema mwaka huu utakuwa ni wa mwisho kwake kutoa albam na kwamba atakuwa anaachia single ili aweze kuwapatia mashabiki zake nyimbo  nyingi mara…

Celebs

New Video: Msanja ft Walter Chilambo – Monica

Rashid Bugi Dec 30, 2016 0 Comments

Mkali wa vichekeso kutokea Olijiono Komedi, Masanja Mkandamizaji ameachia video mpya ya wimbo wa Injili aliomshirikisha Walter Chilambo.

Celebs Entertainment

Nini kimetokea kwa Chid Benz? Amerudia tena unga!!

Rashid Bugi Dec 27, 2016 0 Comments

Staa wa Hip Hop na mkali kutoka Ilala, Dar es Salaam, Chid Benz a.k.a FIRE amerudia tean kutumia dawa za kulevya. Chidi amerudia matumizi hayo hata baada ya kuanza kupokea…

Celebs

Staa umpendaye anajichanganya na nyiniyi?

Rashid Bugi Aug 3, 2016 0 Comments

Ni mara ngapi kwenye maisha umeona watu wenye utajiri, mali, fedha na dhamana kubwa ya madaraka wameweza kuishi maisha yanayofanana na watu wasio katika hadhi zao? Ni viongozi wachache duniani…

Celebs Entertainment

Ginuwine, Mya na kundi la 112 ndani ya Nairobi

Rashid Bugi Jul 28, 2016 0 Comments

Mastaa wa Marekani, Ginuwine, Mya na kundi la 112, wanatarajia kutumbuiza katika tamasha la The Plot litakalofanyika katika ukumbi wa Ngong Racecource Waterfront jijini Nairobi nchini Kenya ifikapo Agosti 13…

Celebs Entertainment

Psquare wamaliza tofauti zao

Rashid Bugi Jul 28, 2016 0 Comments

Staa wa kundi la Psquare, Peter Okoye kutoka Nigeria ameomba msamaha kwa mashabiki wake kufuatia ugomvi na kaka yake Paul Okoye ambaye wanaunda kundi hilo maarufu barani Afrika. Kupitia video…

Celebs Entertainment

Shamsa Ford: Mimi bado nipo CHADEMA

Rashid Bugi Jul 28, 2016 0 Comments

Staa wa Bongo movie, Shamsa Ford amesema ataendelea kuwa mwanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) licha ya uchaguzi mkuu kumalizika mwaka jana. Staa huyo amesema kwamba Edward Lowassa…

Celebs Entertainment

Ney wa Mitego aziingia pingu za BASATA

Rashid Bugi Jul 27, 2016 0 Comments

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemfungia kwa kipindi kisichojulikana staa wa Hip Hop nchini, Emmanuel Elibariki "Nay wa Mitego" kwa kosa la kuimba nyimbo zisizokuwa na maadili. Baraza hilo…

Posts navigation

1 2 3

Next Page »

You Missed

Uncategorized

Build a chat bot from scratch using Python and TensorFlow Medium

Entertainment

Irene Uwoya na Dogo Janja kukutana Moshi

Entertainment

H Baba afunguka kupigwa na mpenzi wake

Entertainment

Harmonize afuta tattoo ya Kajala

Ishi Kistaa

Ishikistaa.com – Breaking News, Latest News, Entertainment, Music, Fashion and Videos

Copyright © All rights reserved | Blogus by Themeansar.