Himid Mao kuukosa mchezo dhidi ya Njombe Mji
Kiungo wa Azam FC, Himid Mao Mkami ataukosa mchezo wake wa klabu yake dhidi ya Njombe Mji siku ya Jumapili.
Himid ataukosa mchezo huo kufuatia...
Mourinho alia na waamuzi
Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho amesema kuwa waamuzi wanaocheza mechi dhidi ya timu yake ndiyo chanzo cha kupotea mechi hizo kwenye mashindano tofauti...
Tanzania yashuka nafasi 12 viwango vya FIFA duniani
Tanzania imeshuka nafasi 12 kwenye orodha ya viwango vya ubora wa soka duniani baada ya kushika nafasi ya 144 huku Argentina ikishika nafasi ya...
Obrey Chirwa ajiunga Platnum ya Zimbabwe kwa mkopo
Mshambuliaji wa Yanga kutoka Zambia, Obrey Chirwa amepelekwa kwa mkopo katika klabu ya Plutnum nchini Zimbabwe.
Taarifa kutoka ndani ya klabu Yanga imesema kuwa makubaliano...
Kocha wa Azam aomba muda zaidi kujenga kikosi cha ushindani
Kocha mkuu wa Azam FC, Zeben Rodriguez amesema kwamba Ligi Kuu ya msimu huu itakuwa ngumu na anahitaji muda zaidi ili kutengeneza timu ya...
Kombe la Dunia 2026: Uefa kuomba nafasi 16 kwa timu za...
Shirikisho la soka barani Ulaya, (Uefa) limetangaza nia ya kuomba nchi za Ulaya kupewa nafasi 16 kwenye mashindano ya kombe la dunia ya mwaka...
Tanzia: Bondia Thomas Mashali auawa kwa kupigwa maeneo ya Kimara
Bondia Thomas Mashali amekutwa amekufa usiku wa kuamkia leo maeneo ya kimara jijini Dar es salaam kutokana na sababu ambazo hazijajulikana mpaka sasa.
Kwa mujibu...
Kocha msaidizi wa Simba, Mayanja ajiuzulu
Kocha Msaidizi wa Simba, Jackson Mayanja amejiuzulu kuifundisha timu hiyo, huku akiweka bayana kwamba ni kutokana na sababu za kifamilia.
Tangu jana Jumanne usiku kulikuwa...
AFCON 2017: Mane aipeleka Cameroon nusu fainali
Mshambuliaji wa Liverpool, Sadio Mane ‘kwa bahati mbaya’ amewapa tiketi wapinzani wake Cameroon kwaajili ya kucheza mchezo wa nusu fainali ya AFCON 2017 baada...
Jamali Malinzi ajiuzuru urais wa TFF
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amekubali ameachia ngazi katika nafasi ya kiti hicho.
Hatua hiyo imekuja mara baada ya kiongozi huyo...
Tetesi za usajili, Barcelona watoa dau la mwisho kwa Coutinho
Barcelona wamesema kuwa watapanda dau la mwisho la pauni milioni 136 kumtaka kiungo wa Liverpool Philippe Coutinho, 25, baada ya dau la kwanza, la...
Afande Sele awachana viongozi wa Simba kwa usajili ya Niyonzima na...
Baada ya klabu ya Simba kuonesha nia ya kutaka kuwasajili wachezaji Haruna Niyonzima na Emmanuel Okwi, Afande sele amewachana viongozi wa klabu hiyo.
Aafnde Sele...
BREAKING NEWS: Juventus wampa Pogba ruhusa ya kupimwa afya na Man...
Miamba ya soka ya Italia, Juventus imempa ruhusa ya kupimwa afya kiungo wake Paul Pogba kwaajili ya kujiunga na Manchester United kwa uhamisho utakaovunja...
Hazard kuikabili Arsenal leo nusu fainali ya Carabao
Mshambuliaji wa Chelsea, Eden Hazard atashiriki katika mechi dhidi ya Arsenal katika mzunguko wa kwanza ya nusu fainali ya kombe la Carabao leo baada...
Swansea wawaacha Liverpool mdomo wazi Anfield waitandika 3-2
Mabingwa wa zamani wa kihistoria wa ligi ya Uingereza, Liverpool wamekubali kipigo cha kustusha cha mabao 3-2 kutoka kwa washika mkia, Swansea.
Kipigo hicho cha...
Moyes ateuliwa kuwa kocha wa West Ham
Aliyewahi kuwa kocha Manchester Uinted, David Moyes ameteuliwa kuwa kocha klabu ya West Ham United baada ya kufukuzawa Slaven Bilic.
Moyes amekuwa bila kazi tangu...
Pluijm: Kujituma ndiyo silaha ya kuiangamiza Stand United
Kocha Mkuu wa Yanga, Hans-van-der-Pluijm amesema silaha kubwa ya kuwaangamiza Stand United katika mchezo wa kesho ni kucheza kwa kujiamini, kujituma kwa umakini.
Yanga itacheza...
Mchezaji kikapu wa zamani Dennis Rodman afanya ziara Korea Kaskazini
Aliyekuwa mchezaji wa kikapu nchini Marekani, Dennis Rodman amefanya tena ziara nchini Korea Kaskazini.
Nyota huyo wa zamani wa NBA amefanya ziara ya kibinafsi nchini...
Kikosi cha Yanga dhidi ya Kagera Sugar leo
Yanga leo  inashuka dimbani kuwavaa Kagera Sugar kwenye mechi ya ligi kuu Tanzania Bara katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es salaam.
Klabu hiyo imeweka...
Branislav Ivanovic ajiunga Zenit St Petersburg
Hatimaye mlinzi wa pembeni wa miamba ya soka ya Uingereza, Chelsea, Branislav Ivanovic amejiunga na miamba ya Urusi Zenit St Petersburg.
Uhamisho huo uliokamilishwa mapema...
Wydad Casablanca yatwaa ubingwa wa Afrika kwa kuibamiza Al Ahly
Klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco imefanikiwa kutwaa ubingwa wa klabu bingwa Afrika baada ya kuifunga Al Ahly 1-0 kwenye mechi ya pili ya...
Ratiba: Ligi kuu nchini Uingereza kuendelea leo
Ligi kuu nchini Uingereza leo inaendelea tena kwa michezo sita katika viwanja tofauti nchini humo ikiwa ni mechi za 17 katika ligi hiyo maarufu...
Mwanariadha wa Ethiopia apewa hifadhi ya muda nchini Marekani
Mwanariadha wa Ethiopia na mshindi wa medali ya fedha wa mbio za marathon za Olimpiki Feyisa Lilesa aliyeonyesha alama ya X alipomaliza mbio zake...
Barcelona na Dortmund zatupwa nje klabu bingwa Ulaya
Klabu ya Juventus imeitoa Barcelona kwenye hatua ya robo fainali ya kombe la klabu bingwa Ulaya baada ya kutoka 0-0 kwenye mechi ya mkondo...
Harry Kane ajifunga Tottenham hadi 2022
Mshambuliaji tegemeo wa Tottenham Hotspurs, Harry Kane amesaini mkataba mpya na miamba ya jiji la London utakaomuweka White Hart Lane hadi 2022.
Kane aliyekuwa akinyemelewa...
Jinamizi bado laitesa Manchester United yapigwa 3-1 na Watford
Klabu ya Manchester United imefungwa kwa mara ya tatu mfululizo katika kipindi cha wiki moja baada ya kufungwa 3-1 dhidi ya Watford kwenye mechi...
Mwanariadha wa Kenya abainika kutumia dawa za kusisimua misuli
Mwanariadha wa Kenya, Jemima Sumgong aliyeshinda medali ya dhahabu katika mashindano ya olimpiki mjini Rio mwaka jana amebainika kutumia dawa za kusisimua misuli.
Shirikisho la...
Kocha wa Ureno Fernando Santos asaini mkataba mpya na timu hiyo
Kocha wa timu ya taifa ya Ureno, Fernando Santos amesaini mkataba mpya wa miaka minne umbapo utamuweka katika timu hiyo mpaka mwaka 2020.
Chama cha...
Tetesi za usajili barani Ulaya leo Julai 19, Neymar akubali kujiunga...
Mshambuliaji wa Barcelona Neymar, mwenye 25, amekubali dau la Paris Saint-Germain, baada ya klabu hiyo ya Ufaransa kuwa tayari kutoa pauni milioni 195.
Makamu wa...
Afcon kuanza kutimua vumbi kesho
Michuano ya 31 ya kombe la mataifa ya Afrika (Afcon) yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi kuanzia kesho jumamosi kwa mechi ya ufunguzi kati ya wenyeji...